Siku chache zilizopita kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii
zilisambazwa picha mbalimbali za Wabunge wa Bunge la Tanzania
zikionyesha wakiwa kwenye sehemu za faragha sehemu ambazo hutumiwa zaidi
na wapenzi na zaidi ni namna picha hizo zilivyotoka maana zingine zilikua ni
zaidi ya nusu utupu.
Salvatory Naluyaga Machemli mbunge wa Ukerewe kupitia Chadema ni
miongoni mwa
↧