Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Boko Haram yateka wanawake wengine 20 nchini Nigeria

$
0
0
Wapiganaji wanaoshukiwa kuwa wanachama wa Boko Haram wamewateka nyara wanawake 20 kutoka jamii inayohamahama Kaskazini Mashariki mwa Nigeria.   Wanawake hao walichukuliwa katika Makazi ya Gakini Fulani karibu na mji wa Chibok ambako zaidi ya wasichana wanafunzi 200 walitekwa nyara Aprili, mwaka huu. Walioshuhudia tukio hilo walisema kuwa wapiganaji hao waliokuwa wamejihami kwa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles