Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Tazama Picha za Diamond akiwa studio na Mafikizolo ambao wamemuomba afanye nao collabo

$
0
0
Tumezoea kuona wasanii wa Tanzania wakiomba kufanya collabo na wasanii wakubwa wa kimataifa kwa lengo la kujitangaza kimataifa, lakini Diamond Platnumz amefikia hadhi ya yeye kuombwa collabo na wasanii wakubwa. Kundi la Mafikizolo la Afrika Kusini limemuomba hit maker wa ‘Number 1′ Diamond Platnumz afanye nao collabo, na jana (June 9) waliingia katika studio ya Oskido iliyoko

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>