Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Jennifer Lopez abadili mawazo, atashiriki ufunguzi wa kombe la dunia kesho

$
0
0
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani Jennifer Lopez amebadili msimammo wa kutohudhuria sherehe za ufunguzi wa fainali za kombe la dunia, na kutangaza kuwa atakuwa sehemu ya sherehe hizo zitakazofanyika kesho huko Arena de São Paulo, mjini São Paulo.   J-Lo ambae hakutoa sababu za kutohudhuria sherehe hizo siku mbili zilizopita, amesema ameona kuna umuhimu wa kuhudhuria katika sherehe za

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>