Quantcast
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Anna Tibaijuka Anusurika Kufa baada ya gari lake kugonga Punda huko Kahama

Waziri wa  Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi,  Anna Tibaijuka juzi alinusurika kifo baada ya gari alilokuwa akisafiria kutoka Bukoba kwenda Dodoma kupata ajali  kwa kugonga punda katika Kijiji cha Wendele wilayani Kahama, mkoani Shinyanga.   Ajali hiyo ilitokea juzi saa 11.07 jioni likijumuisha gari namba STK 5857 alilokuwa akisafiria  Waziri huyo akiwa na familia yake likiendeshwa naImage may be NSFW.
Clik here to view.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>