Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Serikali yawatoa Hofu Wananchi kuhusiana na Ndege za Malawi zilizoonekana Ileje na Kyela jijini Mbeya

$
0
0
SERIKALI imesema kuwa ndege zinazoonekana mpakani mwa Tanzania na Malawi ni maalumu kwa ajili ya kufanya utafiti na vyombo vya udhibiti wa anga vimezipa vibali vya kuwa katika maeneo hayo.   Kauli hiyo ilitolewa jana bungeni na Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe wakati akijibu mwongozo wa Mbunge wa Ileje, Aliko Kibona (CCM), aliyetaka ufafanuzi wa uwepo wa ndege hizo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>