Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hati ya Muungano kuwasilishwa Bunge Maalum la Katiba baada ya siku mbili....

  Na  Magreth Kinabo/MAELEZO, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Mahusiano na Utaribu, Stephen Wassira amesema Serikali itawasilisha Hati ya Makubaliano ya Muungano  katika  Bunge Maalumu la Katiba...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tamko la Katibu Mkuu Kiongozi kwa Vyombo vya habari kuhusu Hati ya Muungano...

TAMKO LA KATIBU MKUU KIONGOZI KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU HATI YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR IKULU, DAR ES SALAAM, TAREHE 14 APRILI, 2014 _________________________________________ Siku 12...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waombolezaji katika msiba wa mzee Muhidin Maalim Gurumo nyumbani kwake Jana

Sehemu ya Waombolezaji wa Msiba wa nguli wa Muziki wa Dansi hapa nchini na aliekuwa kiongozi wa Bendi ya Msondo Ngoma,Marehemu Mzee Muhidin Maalim Gurumo wakiwa nyumbani kwake Mabibo (Tabata...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Masaa 72 ya mwisho wa Muhidini Maalim Gurumo.....Alipewa chakula, akala,...

Mwanamuziki nguli wa muziki wa dansi nchini, Muhidini Maalim Gurumo aliyefahamika pia kama kamanda na mashabiki wa muziki wa dansi, aliyeaga dunia Jumapili iliyopita katika Hospitali ya Muhimbili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mafuriko jijini Dar.....Waliopoteza maisha wafika 13

Idadi ya waliokufa kutokana na mafuriko jijini Dar es Salaam imefikia watu 13 kufikia Jumatatu. Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Sadiq Meck Sadiq amesema idadi hiyo huenda ikaongezeka baada ya kupata...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya leo Jumanne ya tarehe 15 April 2014

                                        Magazeti  ya  leo  Jumanne  ya  tarehe  15  April  2014 <!-- adsense -->

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Akamatwa kwa kufukua maiti ya mtoto, kuipika mchuzi na kuila

  Ni visa mbavyo wengi tulivisikia katika hadithi za kale, watu kuliwa na majitu, lakini katika siku za karibuni tumeshuhudia watu wakila viungo vya wenzao Jamhuri ya Afrika ya Kati katika jazba ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Matangazo ya moja kwa moja ya Bunge Maalum la Katiba ya Jamhuri ya Muungano...

Matangazo ya moja kwa moja ya Bunge Maalum la Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Video ipo hapo JUU....Ni matangazo ya moja kwa moja toka mjini Dodoma

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Majambazi yavamia na kupora fedha katika Benki ya Barcrays tawi la KINONDONI...

Watu wanaosadikiwa ni majambazi wamevamia Benki ya Barcrays tawi la KINONDONI jijini Dar Es Salaam na kupora kiasi kikubwa cha fedha ambazo idadi yake haijajulikana mara moja. Tukio hilo limetokea leo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Safari ya Mwisho ya Marehemu Muhidin Gurumo katika makaburi ya...

    Mwili wa marehemu Muhidin 'Maalim' Gurumo ukiwekwa eneo la makaburi ya Masaki-Kasarawe tayari kwa maziko.  ******* Mwili wa Mzee Gurumo umezikwa makaburi ya Masaki-Kisarawe, Pwani ambapo mamia ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waliolipua bomu Arusha Kunaswa.....

WATU waliohusika na kutega bomu linalohisiwa kuwa ni la kienyeji katika baa ya Arusha Night Park huenda wakanaswa kirahisi baada ya polisi kuchukua mitambo ya usalama (CCTV) iliyofungwa kwa ajili ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mvua yailazimisha DAWASCO kuzima mitambo ya maji

Shirika la Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (DAWASCO) limezima mitambo miwili ya uzalishaji maji kwenye mitambo yake ya Ruvu Juu uliopo Mlandizi, mkoani Pwani na Mtoni uliopo Temeke, Dar es Salaam....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha za Rais Kikwete alipohani Msiba wa Muhidin Maalim Gurumo Ubungo...

Mmoja wa wana familia Bw. Salim Zagar akitoa taarifa fupi ya msiba wa marehemu Muhidin Maalim Gurumo pamoja na mazishi yake kwa Mhe. Rais Jakaya M. Kikwete (picha: IKULU) Rais Kikwete akimfariji mjane...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maafisa wa jeshi la India wafutiwa kesi ya ubakaji baada ya kukubali kumuoa...

Maafisa wawili wa jeshi la India ambao walikuwa wakikabiriwa na kesi nzito ya kumbaka msichana mmoja wameachiliwa huru baada ya kukubali kumuoa msichana waliyembaka pamoja na mdogo wake.   Kwa mujibu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kabla Mzee Gurumo hajafariki alimwandikia wimbo Diamond Platnumz, lakini...

  Star wa Bongo fleva Diamond Platnumz amesema kuwa siku chache kabla mwanamuziki mkongwe wa muziki wa dansi Maalim Muhidin Gurumo hajaaga dunia alikuwa amemuandikia wimbo kama shukrani kwa kumpa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya leo Jumatano ya tarehe 16 April 2014

                                Magazeti  ya  leo  Jumatano   ya  tarehe  16  April  2014

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wamiliki wa magari aina ya Toyota ( RAV 4, Hilux na Fortuner ) watakiwa...

Wamiliki wa magari ya Toyota nchini wametakiwa kuhakiki magari yao na kuyarejesha kwa uchunguzi yale yatakayobainika kuwa na hitilafu za kiufundi katika mfumo wa baadhi ya vifaa vyake.    Taarifa ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bunge Maalum la Katiba kuahirishwa Aprili 25 mwaka huu ili kupisha Bunge la...

Na Magreth Kinabo, Dodoma. Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta amesema Bunge hilo litahairishwa  Aprili 25, mwaka  huu. Bunge hilo, litaihirishwa  ili kuweza kupisha Bunge la Jamhuri ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jeshi la Polisi latangaza kitita cha Sh. Milioni 10 kwa mtu atakayesaidia...

  Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai nchini (DCI),Isaya Mngulu  ***** Jeshi la Polisi nchini limetangaza zawadi ya Sh. milioni 10 kwa atakayewezesha kukamatwa kwa  watu waliotumia mabomu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mafuriko jijini Dar.....Idadi ya waliofariki yafikia 41

Mafuriko  yaliyotokea Jijini Dar es salaam mwishoni mwa wiki yamesababisha vifo vya watu 41.   Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadiki alisema vifo 25 vimethibitishwa. Ameagiza polisi kufanya...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>