Wamiliki wa magari ya Toyota nchini wametakiwa kuhakiki magari
yao na kuyarejesha kwa uchunguzi yale yatakayobainika kuwa na hitilafu
za kiufundi katika mfumo wa baadhi ya vifaa vyake.
Taarifa ya Toyota Tanzania kwenye vyombo vya
habari ilieleza jana kwamba magari yanayohusika ni RAV 4, Hilux na
Fortuner yaliyotengenezwa kati ya mwaka 2006 na 2010.
Hatua hiyo imekuja baada ya
↧