Mmoja wa wana familia
Bw. Salim Zagar akitoa taarifa fupi ya msiba wa marehemu Muhidin Maalim
Gurumo pamoja na mazishi yake kwa Mhe. Rais Jakaya M. Kikwete (picha:
IKULU)
Rais
Kikwete akimfariji mjane wa marehemu Muhidin Maalim Gurumo (mwenye
shuka nyeupe) na wanafamilia alipokwenda kuhani msiba huo Ubungo
Makuburi jana jioni ya April 15, 2014, siku ambayo marehemu alizikwa
↧