Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Maafisa wa jeshi la India wafutiwa kesi ya ubakaji baada ya kukubali kumuoa waliyembaka na mdogo wake pia

$
0
0
Maafisa wawili wa jeshi la India ambao walikuwa wakikabiriwa na kesi nzito ya kumbaka msichana mmoja wameachiliwa huru baada ya kukubali kumuoa msichana waliyembaka pamoja na mdogo wake.   Kwa mujibu wa Daily Mail, mafisa hao waliotajwa kwa majina ya Sachin Gupta (27) na Saurab Chopra (25) walikuwa wakishitakiwa kwa kosa la kumbaka msichana mwenye umri wa miaka 21 ndani ya hotel

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>