Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Majambazi yavamia na kupora fedha katika Benki ya Barcrays tawi la KINONDONI jijini Dar Es Salaam

$
0
0
Watu wanaosadikiwa ni majambazi wamevamia Benki ya Barcrays tawi la KINONDONI jijini Dar Es Salaam na kupora kiasi kikubwa cha fedha ambazo idadi yake haijajulikana mara moja. Tukio hilo limetokea leo likihusisha watu watatu waliokuwa na pikipiki mmoja wao akiwa na bastola.   Kamanda wa Polisi Kanda maalum ya Dar Es Salaam, Suleiman Kova amefika katika eneo la tukio na kuahidi

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>