Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mkuu aongoza mamia ya wananchi wa Mkoa wa Dodoma kuuaga mwili wa...

  Viongozi Dini wakiongoza ibada ya kuuaga mwili wa Marehemu John Gabriel Tupa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara na hapo awali aliwahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Dodoma,aliefariki ghafa siku kadhaa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete apokea ripoti ya mahesabu ya Serikali toka kwa mkaguzi mkuu wa...

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akipokea Ripoti ya Mwaka kutoka kwa Mthibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Bw. Ludovick Utouh Ikulu jijini Dar es salaam leo. Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Yaliyojiri Bungeni Dodoma Ijumaa ya leo ya tarehe 28 Machi 2014 kuhusu...

  Wapendwa  wasomaji, kama Mwenyekiti wa Bunge Maalum, Sammuel Sitta alivyotangaza jana wakati akiahirisha kikao cha jioni, kwamba, kazi kubwa ya leo ni kufanya maamuzi juu ya vifungu vya 37 na 38 vya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wawili wafariki dunia, Saba wajeruhiwa na wanne hawajulikani walipo baada ya...

Wafanyakazi walioajiriwa na shirika la Reli Tanzania (TRL) wakitoa mchanga kwenye kichwa cha treni ya mizigo kilichopata ajali usiku wa kuamkia katika stesheni ya Gulwe, Wilaya ya Mpwampwa. Katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bunge Maalum la Katiba lapitisha azimio la kura ya mseto....Kura ya SIRI na...

  Na Magreth Kinabo, Dodoma Hatimaye baada ya mvutano wa baadhi wa wajumbe wa Bunge la  Maalum la Katiba kuhusu upigaji wa kura ya siri na ya wazi kuendelea  leo  Mwenyekiti wa Kamati ya Kanuni na Haki...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha: Madhara yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha jijini...

  Mvua zilizoanza kunyesha juzi usiku na kuendelea jana  jijini Dar es Salaam zimesababisha adha katika makazi ya watu hasa wanaoishi katika maeneo ya mabondeni na watumiaji wa barabara kutokana na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Aunt Ezekiel achizika na busu la MBWA......

  Diva wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel ameonekana kuchizika na busu la mbwa baada ya kunaswa akiwa amewabeba mbwa wawili na kufurahia mmoja wapo alipombusu. Tukio hilo lilitokea juzikati nyumbani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwanamke ashitakiwa kwa kumuua mwanae wa miaka 4 baada ya kuhisi ni SHOGA...

Mwanamke aliyetajwa kwa jina la Jessica Dutro, anakabiriwa na kesi ya mauaji huko Washington Marekani baada ya kutuhumiwa kuwa alimpiga mwanae wa miaka 4 hadi kumuua baada ya kuhisi kuwa atakuwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya leo Jumapili ya tarehe 30 March 2014

                  Magazeti  ya  leo   Jumapili  ya  tarehe  30  March  2014 <!-- adsense -->

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM yaendelea na mbio zake katika kampeni za uchaguzi mdogo Chalinze

Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze kwa tiketi CCM,Ridhiwani Jakaya Kikwete akiwahutubia wananchi wa Kijiji cha Hondogo,Kata ya Mandera wakati wa muendelezo wa Mikutano yake ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Makamu wa Rais Dr. Bilal aongoza mazishi ya aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Mara,...

  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal akiaga mwili wa aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Mara Marehemu John Gabriel Tupa, baada ya mazishi yake yaliyofanyika  jana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watanzania wenzetu wazuia KUCHOMWA MOTO kwa mpendwa wetu Augustino Michael...

Watanzania wenzetu  wamezuia kuchomwa moto kwa mpendwa wetu  Augustino Michael Lukindo aliyefariki dunia  jijini Madison, jimboni Wisconsin nchini Marekani  jumapili ya March 16, 2014.  Wameomba msaada...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ajali MBAYA yaua wanawake 12 mkoani Kilimanjaro waliokuwa wakienda...

Waombolezaji 12 waliokuwa njiani kuhani msiba wa mtoto aliyepoteza maisha baada ya kusombwa na mafuriko, wamefariki dunia na wengine saba wamejeruhiwa, baada ya gari lao kugongwa na malori mawili kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lulu Michael ABUGI Instagram baada ya kuweka picha hii.....Mashabiki...

Muda  mfupi   jana  baada ya Lulu  Michael   kuposti mwonekano wa mbele wa jarida la VIBE utakavyo  kuwa, huku  ukiwa  umepambwa  na  picha  yake  ya  nusu  uchi, watu wengi walianza kumshambulia kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

INASITIKISHA.....Watu wengine 21 wafariki dunia katika ajali mbaya...

Watu 21 wamefariki dunia katika ajali mbaya iliyotokea jana saa mbili usiku katika Wilaya ya Rufiji, mkoani Pwani ikihusisha magari 4  na wengine 11 kujeruhiwa. Akizungumzia tukio hilo kwa njia ya simu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya leo Jumatatu ya tarehe 31 March 2014

                Magazeti  ya  leo  Jumatatu  ya  tarehe  31  March  2014 <!-- adsense -->

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"Mimi na Gardner tumefikia hatua ya kuishi kama DADA na KAKA"....Lady Jayde

Staa wa  kike  katika  muziki  wa  bongo, Judith Wambura a.k.a Lady Jaydeee au Jide amefunguka kuwa yeye na mumewe, Gardner Habash ‘Kapteini’ kwa sasa wanaishi kama kaka na dada hivyo kuibua swali...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Snura wa Majanga asimulia jinsi KIUNO chake kilivyomponza na kusababisha KTMA...

Baada ya kutolewa video yake ya Nimevurugwa kwenye tuzo za KTMA  2013/2014,  Snura amefunguka  kuhusu  kile ambacho kilionekana kusababisha video yake kufungiwa na kutolewa kwenye mashindao ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Njia 64 za daladala jijini Dar zitasitishwa kutokana na kuanza kwa Mradi wa...

NJIA 64 za magari ya daladala jijini Dar es Salaam zitakoma kutumika kutokana na kuanza kwa Mradi wa Mabasi yaendayo Haraka Dar es Salaam (DART).   Kwa kuanzia matayarisho ya kupisha mradi huo, Wakala...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANAPA yakanusha taarifa zinazodai kuwa Hifadhi ya Taifa ya Katavi imeuzwa

SHIRIKA la Hifadhi za Taifa (TANAPA), limekanusha taarifa zinazodai Hifadhi ya Taifa ya Katavi ipo kwenye mpango wa kukabidhiwa kwa wawekezaji kutoka nchini Afrika Kusini.   Habari hiyo iliandikwa...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>