Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

INASITIKISHA.....Watu wengine 21 wafariki dunia katika ajali mbaya iliyohusisha magari manne mkoani Pwani

$
0
0
Watu 21 wamefariki dunia katika ajali mbaya iliyotokea jana saa mbili usiku katika Wilaya ya Rufiji, mkoani Pwani ikihusisha magari 4  na wengine 11 kujeruhiwa. Akizungumzia tukio hilo kwa njia ya simu jana, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, ACP Ulrich Matei, alisema ajali hiyo imetokea katika Barabara Kuu ya Dar es Salaam-Lindi, eneo la Ikwiriri, wilayani humo. Awali ajali hiyo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>