Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mwanamke ashitakiwa kwa kumuua mwanae wa miaka 4 baada ya kuhisi ni SHOGA .... ujumbe wa Facebook wammaliza

$
0
0
Mwanamke aliyetajwa kwa jina la Jessica Dutro, anakabiriwa na kesi ya mauaji huko Washington Marekani baada ya kutuhumiwa kuwa alimpiga mwanae wa miaka 4 hadi kumuua baada ya kuhisi kuwa atakuwa ‘shoga’.   Waendesha mashitaka walidai kuwa August 14, 2012 mama huyo aliwapiga vibaya watoto wake watatu, lakini kipigo kilikuwa kikali zaidi kwa mwanae aitwae Zachary Dutro- Boggess ambaye

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles