Na Magreth Kinabo,
Dodoma
Hatimaye
baada ya mvutano wa baadhi wa wajumbe wa Bunge
la Maalum la Katiba kuhusu upigaji wa
kura ya siri na ya wazi kuendelea leo Mwenyekiti wa Kamati ya Kanuni
na Haki za
Bunge Maalum, Mhe . Pandu Ameir Kificho amewasilisha azimio la
mapendekezo ya ya upigaji kura wa wazi na siri kutumika kwa pamoja
katika kaununi ya 37 na
38, ambalo
↧