Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Yaliyojiri Bungeni Dodoma Ijumaa ya leo ya tarehe 28 Machi 2014 kuhusu Maamuzi ya kura ya WAZI au ya SIRI

$
0
0
  Wapendwa  wasomaji, kama Mwenyekiti wa Bunge Maalum, Sammuel Sitta alivyotangaza jana wakati akiahirisha kikao cha jioni, kwamba, kazi kubwa ya leo ni kufanya maamuzi juu ya vifungu vya 37 na 38 vya Kanuni za Bunge Maalum ambavyo vinahusu jinsi ya kufanya maamuzi. Mjadala hapa ambao umeteka hisia za wananchi wengi ndani na nje ya Bunge ni juu ya Kura ya Siri au ya Wazi.  Hakika

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>