Wapendwa wasomaji, kama Mwenyekiti wa Bunge Maalum, Sammuel Sitta alivyotangaza jana
wakati akiahirisha kikao cha jioni, kwamba, kazi kubwa ya leo ni
kufanya maamuzi juu ya vifungu vya 37 na 38 vya Kanuni za Bunge Maalum
ambavyo vinahusu jinsi ya kufanya maamuzi. Mjadala hapa ambao umeteka
hisia za wananchi wengi ndani na nje ya Bunge ni juu ya Kura ya Siri au
ya Wazi.
Hakika
↧