HALI YA M TO THE P YAIMARIKA...... NGWAIR ATARAJIWA KUAGWA JUMAPILI
-Msanii M2 the P anaendelea vizuri, leo ameweza kuongea na ametolewa ICU kupelekwa wodini -Mwili wa Albert Kenneth Mangwair unatarajiwa kuwasili jijini Dar Jumamosi Juni 1, 2013 na kuhifadhiwa...
View ArticleK' LYNE AWEKA WAZI UHUSIANO WAKE NA REGINALD MENGI
Kumekuwepo na Minong'ono mingi lakini hapakuwa na ushahidi wa hili mpaka mwanadada huyo alipoamua kuanika hadharani kuwa mheshimiwa Reginald Mengi ndiye baba halali wa mapacha wake wawili. Hongera...
View ArticleTAARIFA YA UCHUGUZI JUU YA KUTEKWA NA KUUMIZWA KWA ABSALOM KIBANDA
TAARIFA YA UCHUGUZI JUU YA KUTEKWA NA KUUMIZWA KWA ABSALOM KIBANDA IMEWASILISHWA NYUMBANI HOTEL – TANGA MEI 30, 2013 UTANGULIZI:Usiku wa Jumanne ya Machi 5 kuamkia Machi 6, 2013, Mhariri Mtendaji wa...
View ArticleMABINTI WATOANA MANUNDU WAKIGOMBEA MWANAUME
Warembo wawili, wakazi wa Sinza, Dar es Salaam ambao majina yao hayakupatikana, wamenaswa wakizichapa laivu wakidaiwa kugombea bwana. Tukio hilo la kujidhalilisha lilijiri katika baa maarufu ya Corner...
View ArticleNAIBU SPIKA AAPA KUTOMWADHIBU MBUNGE YEYOTE KWA MADAI KWAMBA AMECHOKA KUITWA...
Naibu Spika wa Bunge,Ndugu Job Ndugai amesema kuwa kuanzia sasa hatamwadhibu Mbunge yeyote anayeleta vurugu Bungeni kwakuwa amechoka lawama. Akihojiwa na Redio One Stereo katika kipindi cha...
View ArticleMATOKEO YA KIDATO CHA SITA YAKO HEWANI....
<!-- adsense --> Matokeo ya kidato cha sita nayo yapo hewani.....Ukitaka kuyaangalia bofya link zifuatazo << MATOKEO YA FORM 6>> au << MATOKEO YA FORM 6>>
View ArticleVIDEO YA WASICHANA WALIONASWA WAKISAGANA.....NI AIBU TUPU
<!-- adsense --> Maadili ya kitanzania yamekuwa yakiporomoka kila kukicha.Hili limejidhihirisha tena baada ya kundi la akina dada kunaswa likiwa katika mchakato wa kusagana........
View ArticleKIFO CHA NGWEA BADO NI UTATA....PICHA YAKE AKIWA MOCHWARI IMEIBUA MASWALI...
Kifo cha mwanamuziki wa Tanzania, Albert Mangwea kilichoripotiwa hivi majuzi, kinazidi kuacha maswali mengi kadiri siku zinavyozidi kusogea.Wapo baadhi ya watu ambao wametoa maoni ya kutilia shaka...
View ArticleMAANDALIZI YA MSIBA WA NGWEA YAANZA BENZI JIJINI DAR
MAOMBOLEZO ya msiba wa aliyekuwa mwanamuziki wa kizazi kipya, marehemu Albert Mangwea, yameanza nyumbanmi kwa baba yake mdogo, Mbezi Beach jijini Dar es Salaam ambako jana jioni ndugu,...
View ArticleHUYU NDO MSHIRIKI WA BBA KUTOKA ZIMBABWE ALIYE CHEZA MKANDA WA...
Mshiriki wa shindano la Big Brother Africa Chase kutoka nchini Zimbabwe Nare Pokello amejikuta katika kashfa kubwa baada ya mkanda wake wa ngono kuvuja siku chache tu baada ya yeye kuingia ndani ya...
View ArticleMZUMBE SECONDARY YAFUNGWA...WANAFUNZI WAPEWA SIKU MBILI WAPOTEE KATIKA...
Popout Wananfunzi wakidato cha kwanza hadi cha sita katika shule ya sekondari Mzumbe Morogoro wamelazimika kuandamana kwenda ofisi ya mkuu wa mkoa wa huo wakishinikiza kuboreshewa huduma muhimu....
View ArticleMABADILIKO KUHUSU MAZISHI YA NGWEA
Habari kutoka kwa wanakamati wa mipango ya mazishi ya marehem Albert Mangwea zinasema kuwa mwili wa marehem Ngwea utafika Dar siku ya jumapili saa nane mchana na sio jumamosi kama ilivyoarifiwa hapo...
View ArticleTAARIFA YA TBC MCHANA: WABUNGE WA CHADEMA NA CUF WAOMBA RADHI BUNGENI
Dondoo za taarifa (audio imepachikwa hapo chini): Baraza la Mitihani la Taifa latangaza Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita Kitaifa Serikali mkoani Morogoro imeifunga shule ya Sekondari ya vipaji...
View ArticleVIDEO: HUU NDO UCHAFU UNAOTENDEKA NDANI YA JUMBA LA BIG BROTHER AFRICA
Hii ni video inayoonesha uchafu unaotendeka ndani ya jumba la Big Brother Africa.... Nashindwa kuusimulia, ila jionee mwenywe katika video hiyo..... <!-- adsense -->
View ArticleZANZIBAR YAPIGA MARUFUKU NDOA ZA JINSIA MOJA.....UKINASWA IMEKULA KWAKO (...
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, imetunga sheria ya kupiga marufuku ndoa za watu wa jinsia moja.Waziri wa Katiba na Sheria wa Zanzibar, Bwana Abubakar Khamis Bakar, aliyasema hayo kwenye Kikao cha...
View ArticleKIJANA ANUSURIKA KUFA BAADA YA VIBAKA KUMCHOMA MOTO HUKO MKOANI LINDI
Mtu mmoja aliyetambulika kwa jina la Ismai Mayoba(31) anayefanya kazi Bar ya Mangrove,Mkazi wa Manispaa ya Lindi amenusurika kifo baada ya kuvamiwa na kundi la Vijana waliotaka kumpora na hatimae...
View ArticlePREZZO AMPIGANIA HUDDAH ABAKI MJENGONI..... VIDEO FUPI AKIWA BAFUNI NDANI YA...
<!-- adsense --> The Prezidaa CMB Prezzo ambae alikuwa mshiriki wa shindano la Big Brother Africa msimu uliopita amejiunga na project ya watu wanaompigia debe the boss Lady toka Kenya Huddah...
View ArticleBABY MADAHA NA WOLPER WAMALIZA BIFU LAO......KISA KILIKUWA NI NYUMBA YA KUPANGA
WASANII wa filamu na muziki Bongo, Baby Joseph Madaha ‘Baby Madaha’ na Jacqueline Wolper Massawe ‘Wolper’ wamemaliza bifu lao lililokuwa likifukuta kama moto wa kifuu mwishoni mwa wiki mbili...
View ArticleWAUMINI WAUKIMBIA MSIKITI WA DODOMA BAADA YA KAULI YA MBUNGE KUDAI KUWA...
Kauli iliyotolewa na mbunge wa kilindi Beatrice Shelukindo ya kuwa msikiti wa barabara ya saba uliopo katika manispaa ya Dodoma unafundisha mafunzo ya ugaidi na kareti kwa waumini wake imeuathiri...
View ArticleFACEBOOK WAMEKUJA NA "VERIFIED ACCOUNT " NA RAIS UHURU AWA WA KWANZA.
Facebook imefuata mkondo Twitter kwa kuanzisha akaunti na kurasa zilizothibitishwa (verified pages/accounts) ili kuwawezesha watu mashughuli kuthibitisha akaunti akaunti na fan page zao. Facebook...
View Article