Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

WAUMINI WAUKIMBIA MSIKITI WA DODOMA BAADA YA KAULI YA MBUNGE KUDAI KUWA UNAFUNDISHA UGAIDI

$
0
0
Kauli iliyotolewa na mbunge wa kilindi Beatrice Shelukindo ya kuwa msikiti wa barabara ya saba uliopo katika manispaa ya Dodoma unafundisha mafunzo ya ugaidi na kareti kwa waumini wake imeuathiri msikiti huo. Akizungumza na Jombo Shekhe Mohamed Awadhi wa msikiti huo alisema kauli yake hiyo Imewaathiri waumini wake kutokana kuukimbia na baadhi ya wanafunzi waliokuwa wakisoma masomo kuhamishwa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>