Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

MABINTI WATOANA MANUNDU WAKIGOMBEA MWANAUME

$
0
0
 Warembo wawili, wakazi wa Sinza, Dar es Salaam ambao majina yao hayakupatikana, wamenaswa wakizichapa laivu wakidaiwa kugombea bwana. Tukio hilo la kujidhalilisha lilijiri katika baa maarufu ya Corner iliyopo Sinza-Afrikasana, Dar, majira ya asubuhi wakati watu wakiwa kwenye mishemishe za kuwahi kazini.  Katika tukio hilo, mmoja wa warembo hao alikuwa akilalamika kuwa kuna mwanaume

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>