Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAFANYABIASHARA WAMSIHI RAIS KIKWETE KUUNDA TUME KUHUSU MASHINE YA EFD

JUMUIYA ya wafanyabiashara, imemuomba Rais Jakaya Kikwete kuunda tume maalumu itakayoshirikisha wadau mbalimbali wa sekta ya uchumi nchini, ambayo itafanya uchunguzi wa kina wa mashine za kielektroniki...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NEWS..... MAJAMBAZI WATATU WACHOMWA MOTO NA KUUAWA MOROGORO VIJIJINI

 WATU watatu wanaosadikiwa kuwa majambazi wameuawa kwa kuchomwa moto usiku wa kuamkia leo baada ya kuvamia duka la mama mmoja wa kijiji cha Kisiwa, kata ya Kiloka, wilaya ya Morogoro Vijijini. Jumla ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMBO YA JOHARI YAWAPAGAWISHA RAY NA CHUCHU HANS

 HUKU Ray na Chuchu Hans wakionekana penzi lao limepamba moto, mpenzi wa zamani wa  Ray, Blandina Chagula ‘Johari’ ameonekana kuwarusha roho wawili hao baada ya kutupia mtandaoni picha inayomuonesha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA AFUNGUKA NA KUWAONYA CHAMA CHA DEMOCRASIA NA...

Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi amekitaka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kujiepusha na vurugu na uvunjifu wa amani kinapotatua mgogoro wake na aliyekuwa Naibu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LULU; HII NI SUPRISE KWAKO MAMA

MSANII wa filamu, Elizabeth Michael ‘Lulu’, mwanzoni mwa wiki hii alimshangaza (surprise) mama wa mpenzi wake wa zamani, marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa wakati alipokuwa akisherehekea miaka 58...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NINI KINACHASABABISHA WANAWAKE KUTOPATA MIMBA?

TUNAPOSEMA tatizo la kutopata ujauzito ina maana mume na mke au watu walio katika uhusiano wa kutafuta ujauzito ndani ya mwaka mmoja lakini wameshindwa. Inaweza ikawa zaidi ya mwaka mmoja lakini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATU WATATU WASHIKILIWA NA POLIS KWA TUHUMA ZA KUMPIGA NA KUMJERUHI...

Polisi katika Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, wanawashikilia watu watatu kwa tuhuma za kumpiga na kumjeruhi Mwenyekiti wa Chadema wilayani Temeke, Joseph Yona, ambaye baadaye, alitelekezwa Ununio,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DR SLAA AWASHA MOTO MWINGINE MKALI

KATIBU MKUU wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, ameibua madudu ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kwamba vijana milioni nne watakosa fursa ya kupiga kura baada ya tume...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAULI YA UPINZANI YA AWALI KUHUSU ONGEZEKO LA BEI ZA UMEME

Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), katika kikao chake cha tarehe 10 Desemba 2013 pamoja na mambo mengine, ilitoa maamuzi ya ongezeko la bei za umeme kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JENGO LA RK BARABARA YA NYERERE DAR LATEKETEATEKETEA KWA MOTO MKUBWA

    Jengo la RK lililokaribu na eneo la Jet katika Barabara ya Nyerere karibu na sheli ya Victoria linaendelea kuwaka moto mkubwa mchana huu ambao umefika katika eneo la ghala la kuhifadhia madawa....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS WA CAR AJIUZULU

Rais wa mpito wa Jamuhuri ya Afrika ya Kati, Michel Djotodia, amejiuzulu kufuatia shinikizo kali na kukosolewa kwa mwendo wake wa kujikokota katika kusuluhisha mgogoro wa kidini unaotokota nchini humo....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAAJABU....... MTU HUYU AZINDUKA KUTOKA CHUMBA CHA MAITI

 Wananchi wa Kenya wameshangazwa na taarifa ya mwanamume mmoja aliyezinduka akiwa katika chumba cha kuhifadhia maiti katika hospitali moja mjini Naivasha umbali wa kilomita tisini kutoka mji mkuu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANAJESHI WA SUDANI KUSINI WAFANIKIWA KUUKOMBOA MJI WA BENTIU

                    wananchi wa sudan kusini  Taarifa kutoka Sudan Kusini zasema kuwa wanajeshi wa taifa hilo wamechukua udhibiti wa mji wa Bentiu kutoka kwa waasi watiifu kwa aliyekuwa makamu wa Rais...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DUH,... HII KALI KASHFA YA MAPENZI YAMWANDAMA RAIS WA UFARANSA,,,, HOLLANDE

  Rais wa Ufaransa François Hollande, ametishia kuwachukulia hatua za kisheria wahariri wa jarida moja nchini humo lililochapisha taarifa za uvumi kuwa ana uhusiano wa kimapenzi na mwanamke mmoja...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Zitto Kabwe atoa kauli nzito.....Asema wapinzani ( Dr. Slaa ) wakishika dola...

ALIYEKUWA Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, ametoa kauli nzito, baada ya kusema viongozi wa vyama vya siasa wanaopekua...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kesi ya Jack Patrick kuanza kusikilizwa mwaka 2016....Wachina wampa mwaka...

HABARI mpya za supastaa modo wa Bongo aliyedaiwa kukamatwa na madawa ya kulevya ‘unga’ Macau, China, Jacqueline Patrick ‘Jack’(pichani) zinazidi kumuumiza mrembo huyo. Mrembo huyo alikamatwa Desemba...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Unyama: Mwenyekiti wa CHADEMA Temeke ambaye chama hicho kinamtuhumu...

Mwenyekiti wa chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wilaya ya Temeke Joseph Yona ambaye  chama  hicho  kinamtuhumu  kushirikiana  na  CUF kumuunga  mkono Zitto  Kabwe amepigwa na watu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Baadhi ya picha kutoka nje ya mahakama kuu Dar kabla ya hukumu ya Zitto Kabwe

          Polisi wakiwadhibiti wafuasi wa Zitto na wale wanaompinga nje ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar kabla ya hukumu kutolewa. <!-- adsense -->

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Zitto Kabwe ashinda hukumu ya kesi yake.....Mahakama yaizuia kamati kuu ya...

  LEO macho na maskio ya watanzania   hasa  wafuasi  na  wapenzi  wa  CHADEMA yalielekezwa katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam,pale ambapo Jaji wa Mahakama hiyo Jaji John Utumwa   alikuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwasisi wa CHADEMA, mzee Edwin Mtei amtaka Zitto Kabwe ajiunge na CCM au CUF...

Mwasisi wa Chadema, Edwin Mtei amemtaka Zitto aunde chama chake au atafute kingine cha kujiunga nacho kwa kuwa kwa sasa hana nafasi.   Pia ameshauri kuwa kama ana ndoto za kuwania urais ni vizuri...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>