Polisi katika Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, wanawashikilia watu
watatu kwa tuhuma za kumpiga na kumjeruhi Mwenyekiti wa Chadema wilayani
Temeke, Joseph Yona, ambaye baadaye, alitelekezwa Ununio, Kunduchi.
Tukio hilo la kusikitisha lilitokea mapema wiki hii.
Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalumu ya Dar es
Salaam, Suleiman
↧