Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

DR SLAA AWASHA MOTO MWINGINE MKALI

$
0
0
KATIBU MKUU wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, ameibua madudu ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kwamba vijana milioni nne watakosa fursa ya kupiga kura baada ya tume hiyo kushindwa kuboresha Daftari la Kudumu la Wapiga Kura. Akizungumza katika mkutano wa pamoja  kati ya NEC na viongozi wa vyama vya siasa nchini,  Dk. Slaa alisema wamekuwa na mgogoro

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>