Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA AFUNGUKA NA KUWAONYA CHAMA CHA DEMOCRASIA NA MAENDELEO

$
0
0
Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi amekitaka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kujiepusha na vurugu na uvunjifu wa amani kinapotatua mgogoro wake na aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wake, Zitto Kabwe.Mapema wiki hii, wafuasi wa Chadema walipambana na wale wanaodaiwa kuwa wafuasi wa Zitto katika eneo la Mahakamu Kuu wakati kesi hiyo ikiendelea kusikilizwa na

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>