Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

WANAJESHI WA SUDANI KUSINI WAFANIKIWA KUUKOMBOA MJI WA BENTIU

$
0
0
                    wananchi wa sudan kusini  Taarifa kutoka Sudan Kusini zasema kuwa wanajeshi wa taifa hilo wamechukua udhibiti wa mji wa Bentiu kutoka kwa waasi watiifu kwa aliyekuwa makamu wa Rais wa nchi hiyo Riek Machar.  Msemaji wa kijeshi huko Juba ameiambia BBC kuwa majeshi ya serikali kwa sasa yamechukua usukani wa mji huo. Amesema kulikuwa na makabiliano madogo kwani

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>