Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

MAAJABU....... MTU HUYU AZINDUKA KUTOKA CHUMBA CHA MAITI

$
0
0
 Wananchi wa Kenya wameshangazwa na taarifa ya mwanamume mmoja aliyezinduka akiwa katika chumba cha kuhifadhia maiti katika hospitali moja mjini Naivasha umbali wa kilomita tisini kutoka mji mkuu Nairobi.  Mwanamume huyo Paul Mburu mwenye umri wa miaka 24, alipelekwa hospitalini kwa matibabu baada ya kunywa sumu kwa lengo la kujitoa uhai,kutokana na ugomvi wa kinyumbani na babake

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>