Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Diana Kimaro wa bongo movie ajuta kuianika BIKRA yake mitandaoni

  Takribani miezi kadhaa iliyopita star wa filamu Diana Kimaro alikaririwa akisema kuwa yeye ni bikira na hajawahi kulala  na mwanaume yeyote kwani yupo busy na shule....   Diana aliyasema hayo katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa kuhusu bei mpya za umeme zitakazoanza kutumika tarehe 1 /1/ 2014

Tarehe 11 Oktoba 2013, Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) liliwasilisha maombi ya kurekebisha bei ya umeme kwa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA). TANESCO ilipendekeza kuongeza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watu saba wakamatwa wakijiandaa kulipua nyumba za Ibada

  Na Oscar Assenga, Korogwe -- JESHI la Polisi mkoani  hapa kwa kushirikiana na wakazi wa Kijiji cha Maili kumi wilayani Korogwe wamefanikiwa kuwakamata watu saba kwa tuhuma za kuhusika na kuweka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"Nilijazwa mimba nikiwa na umri mdogo sana....Jamii ilinitenga, ila ujasiri...

  Mkurugenzi wa Benchmark Production, Rita Paulsen aka Madam Rita amesema yeye ni miongoni mwa wanawake waliopata ujauzito wakiwa na umri mdogo lakini alikuwa jasiri wa kukabiliana na hali hiyo hadi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dr. Slaa akerwa na mapokezi ya Zitto Kabwe Kigoma na kuamua kumzuia kufanya...

  Zitto Kabwe jana  amefanya mkutano wa 3 ndani  ya Mkoa wa Kigoma,mikutano hii  ilianza siku ya Jumamosi kwa  sehemu ya Mwandiga mahali alipozaliwa na kukulia,Kasulu ilikua juzi  na jana kafanya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wahamiaji haramu warejea kwa kasi Kagera....Ni wahamiaji wanaojiita M23 na...

  Katika hali isiyo ya kawaida, wahamiaji haramu waliorejeshwa nchini mwao na serikali katika ‘Operesheni Kimbunga’ wameanza kurejea kwa wingi katika Wilaya ya Kyerwa, mkoani Kagera wakijiita M23 na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wastara awaomba mashabiki kuungana naye 28 Dec makaburini Kisutu kwaajili ya...

Msanii wa filamu, Wastara Juma amewaomba Watanzania na wadau mbalimbali kuungana naye siku ya tarehe 28 December 2013 saa tatu asubuhi makaburini Kisutu jijini Dar es Salaam kwaajili ya kufanya dua...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kijana mmoja ashambuliwa hadi kufariki dunia maeneo ya Mbezi Luis jijini Dar...

Wananchi wakiwa hasira kali wamempiga  hadi kumuua mwanaume aliyedhaniwa kuwa ni mchawi baada ya kuanguka akiwa amepanda ungo maeneo ya Mbezi Luis jijini Dar es Salaam.   Jamaa huyo mkazi wa Mwanza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tunawatakia sikukuu njema ya Christmas...

Tunapenda  kuwatakia  sikukuu  njema  wasomaji  wetu  wote....Mungu  awabariki  na  kuwalinda.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wadau wapinga bei mpya za umeme

Baadhi ya wachumi na wadau mbalimbali wa nishati ya umeme wameikosoa hatua ya Shirika la Ugavi wa Umeme Tanzania (Tanesco) baada ya kuongeza gharama za umeme kwa maelezo kuwa hatua hiyo itamkandamiza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Gazeti la Mtanzania litakuwa mtaani tena kuanzia ijumaa ya wiki hii baada ya...

GAZETI la Mtanzania ambalo serikali ililifungia kuchapishwa kwa muda wa siku 90 kwa kile ilichokieleza kuwa ni kuandika habari za uchochezi sasa litaanza tena kuchapishwa na kusambazwa nchini Ijumaa ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sura mpya ya baraza jipya la mawaziri litakaloundwa na JK muda wowote kuanzia...

MABADILIKO makubwa ya Baraza la mawaziri yanayotarajiwa kufanywa wakati wowote kuanzia sasa na Rais Jakaya Kikwete yameanza kuonyesha kila dalili za kuibua sura mpya na ambazo hazitarajiwi na wengi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mazingaombwe ya CHADEMA jijini Mwanza....Vurugu kubwa zaibuka kati ya Meya na...

ILIKUWA ni kama uwanja wa vita na mipasho, ndivyo unavyoweza kusema, baada ya kuibuka vurugu kubwa kati ya Meya wa Halmashauri ya Ilemela, Henry Matata na madiwani wake wa Chama Cha Demokrasia na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kocha wa Simba afariki dunia....

  Aliyekuwa kocha wa makipa wa Klabu ya Simba, James Kisaka amefariki dunia leo asubuhi katika Hospitali ya Burhan, Dar es Salaam.   Kisaka aliyewahi kuwa kipa wa timu hiyo miaka ya nyuma, alikuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Video ya wapenzi wakingonoka vichakani yanaswa

Hakika  mapenzi  hayana  heshima...Baba  mtu  mzima  mwenye  mke  na  watoto  amefuamiwa  live  na  Domo Langu akingonoka  kichakani  na  binti  yake  wa  kazi.... Kwa mujibu  wa mtandao wa Domo Langu,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dk. Emmanuel Nchimbi ampigia magoti mwenyezi Mungu ili ampe moyo wa kusamehe...

SIKU chache baada ya aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Dk. Emmanuel Nchimbi kuvuliwa wadhifa wake kwa tuhuma za kushindwa kusimamia wizara yake, kiongozi huyo ametaka apewe moyo wa upendo na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Baada ya kumtema Penny...Diamond amtangaza rasmi Wema Sepetu kuwa ni Mchumba...

Tukio hilo lilitokea  jana pale Leaders club kwenye show ya Diamond ambapo Wema Sepetu alipanda kwenye stage na kuongea na mashabiki waliofika kwenye show hiyo....   Kwenye hiyo show, Diamond...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwanafunzi abakwa kikatili mkoani Singida....Sehemu zake za siri na makalio...

  Mwanafunzi  wa kike,13, (jina linahifadhiwa) anayesoma darasa la tano katika shule ya Msingi Unyakumi, mkoani Singida, amefanyiwa unyama kwa kubakwa na kijana aliyemtaja kwa jina moja la Mapunda...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete kuwasili leo nchini na SIRI nzito....Je, ataamua kuendelea...

Rais Jakaya Kikwete anatua nchini leo akiwa na lake moyoni kuhusu hatima ya baraza lake la mawaziri, baada ya kutengua uteuzi wa mawaziri wake wanne, wiki mbili zilizopita.    Rais Kikwete alikwenda...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mkuu Mizengo Pinda, ambaye anakabiliwa na shinikizo la kujiuzulu...

Waziri Mkuu Mizengo Pinda, ambaye anakabiliwa na shinikizo la kujiuzulu amesema atazungumzia hatima yake baada ya sikukuu za Krismasi na Mwaka Mpya.    Gazeti  la The Citizen, lilimkariri Pinda jana...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>