Mkurugenzi wa Benchmark Production, Rita Paulsen aka Madam Rita
amesema yeye ni miongoni mwa wanawake waliopata ujauzito wakiwa na umri
mdogo lakini alikuwa jasiri wa kukabiliana na hali hiyo hadi
akafanikiwa.
Kupitia Facebook, Madam Rita amewashauri wasichana wanaojikuta katika
katika hali hiyo kutokata tamaa kwakuwa bado wanaweza kufanikiwa.
“Jambo moja msilofahamu
↧