Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Watu saba wakamatwa wakijiandaa kulipua nyumba za Ibada

$
0
0
  Na Oscar Assenga, Korogwe -- JESHI la Polisi mkoani  hapa kwa kushirikiana na wakazi wa Kijiji cha Maili kumi wilayani Korogwe wamefanikiwa kuwakamata watu saba kwa tuhuma za kuhusika na kuweka mabomu  yaliyokuwa yameandaliwa tayari kwa kulipuka kwenye nyumba mbili tofauti za ibada.Pamoja na mabomu hayo,  watuhumiwa hao ambao majina yao yanahifadhiwa kwa sababu za kiuchunguzi

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>