Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Gazeti la Mtanzania litakuwa mtaani tena kuanzia ijumaa ya wiki hii baada ya serikali kulifunga kwa siku 90

$
0
0
GAZETI la Mtanzania ambalo serikali ililifungia kuchapishwa kwa muda wa siku 90 kwa kile ilichokieleza kuwa ni kuandika habari za uchochezi sasa litaanza tena kuchapishwa na kusambazwa nchini Ijumaa ya Disemba 27, 2013.  Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana na Mhariri Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya New Habari (2006) Ltd, Absalom Kibanda, kwa gazeti hili, uamuzi huo mpya umefikiwa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>