Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Wahamiaji haramu warejea kwa kasi Kagera....Ni wahamiaji wanaojiita M23 na wanadaiwa kuwatisha wananchi na kupora mali zao

$
0
0
  Katika hali isiyo ya kawaida, wahamiaji haramu waliorejeshwa nchini mwao na serikali katika ‘Operesheni Kimbunga’ wameanza kurejea kwa wingi katika Wilaya ya Kyerwa, mkoani Kagera wakijiita M23 na kupora mali za wananchi kwa nguvu.   Mkuu wa Wilaya hiyo, Mhandisi Benedict Kitenga, aliyasema hayo  wakati akitoa taarifa kwa Mkuu wa Mkoa huo Kanali mstaafu, Fabian Massawe ambaye alitembelea

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>