Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Wastara awaomba mashabiki kuungana naye 28 Dec makaburini Kisutu kwaajili ya dua ya Sajuki

$
0
0
Msanii wa filamu, Wastara Juma amewaomba Watanzania na wadau mbalimbali kuungana naye siku ya tarehe 28 December 2013 saa tatu asubuhi makaburini Kisutu jijini Dar es Salaam kwaajili ya kufanya dua maalum ya Sajuki Wastara ametoa taarifa hiyo kupitia ukurasa wake wa Facebook. “28 Jumamosi kuanzia saa 3 asubuhi naomba mashabiki wangu na wapenzi wa kipenzi changu kipenzi chenu

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>