Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Kijana mmoja ashambuliwa hadi kufariki dunia maeneo ya Mbezi Luis jijini Dar es Salaam baada ya kusemekana kwamba ni mchawi aliyedondoka na ungo

$
0
0
Wananchi wakiwa hasira kali wamempiga  hadi kumuua mwanaume aliyedhaniwa kuwa ni mchawi baada ya kuanguka akiwa amepanda ungo maeneo ya Mbezi Luis jijini Dar es Salaam.   Jamaa huyo mkazi wa Mwanza anayekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 20 hadi 25, alianguka jana saa 12 asubuhi maeneo ya Mbezi Luis baada ya kudai kuwa alikuwa kwenye safari zake za kishirikina.   Mashuhuda

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>