Waziri Mkuu Mizengo Pinda, ambaye anakabiliwa na shinikizo la
kujiuzulu amesema atazungumzia hatima yake baada ya sikukuu za Krismasi
na Mwaka Mpya.
Gazeti la The Citizen,
lilimkariri Pinda jana akisema kwa sasa anahitaji amani na utulivu
katika kipindi hiki cha sikukuu baada ya shughuli za kikao kilichopita
cha Bunge.
Katika kikao hicho,
↧