Mwanafunzi wa kike,13, (jina linahifadhiwa) anayesoma
darasa la tano katika shule ya Msingi Unyakumi, mkoani Singida,
amefanyiwa unyama kwa kubakwa na kijana aliyemtaja kwa jina moja la
Mapunda ambaye ni dereva wa bodaboda.
Akizungumza kwa shida kutokana na maumivu makali aliyonayo akiwa
katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, denti huyo alisema kwamba mkasa
huo ulimpata Novemba 19,
↧