Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LADY JAYDEE, AFANDE SELE, MKOLONI NA JB WAKIMBILIA CHADEMA

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeendelea kuwavuta wasanii kujiunga na chama hicho, ambapo sasa wasanii wanne wa muziki wa kizazi kipya, maarufu Bongofleva na filamu, wanatarajiwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANAUME ANYWESHWA VIROBA NA "KULIWA JICHO" ( KABAANG) BAADA YA KULEWA

JESHI la Polisi mkoani Singida linamtafuta kijana mmoja mkazi wa Kibaoni katika manispaa hiyo kwa tuhuma za kumlawiti mwenzake na kumharibu vibaya sehemu za haja kubwa baada ya kumnunulia pombe kali...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HII NDO VIDEO MPYA YA DIAMOND..." MY NUMBER ONE"

  Diamond Platnumz - Number One (Official Music Video) <!-- adsense -->

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHADEMA WAMKANA AFANDE SELE....WADAI HAWAJAWAHI MUOMBA AGOMBEE UBUNGE MOROGORO

Gazeti la Habari Leo la siku ya leo tarehe 2 Septemba lenye kichwa cha habari "Chadema kuzoa wasanii mastaa" pamoja na mambo mengine, mwandishi amemnukuu mmoja wa wasanii toka mkoa wa Morogoro akisema...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

GEORGE BUSH ATANGAZA KIFO CHA MANDELA WAKATI HAJAFA

Rais wa zamani wa Marekani George W. Bush amejikuta ‘akiingia chaka’ kwa kutangaza ‘kifo’ cha Rais wa zamani wa Afrika Kusini Nelson Mandela ambaye bado yuko hai.   Kosa hilo limetokea jana asubuhi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RWANDA YAPANDISHA USHURU WA MAGARI YA MIZIGO YANAYOTOKA TANZANIA

RWANDA imeamua ‘kucheza rafu’ kwa kuanza kuhujumu Bandari ya Dar es Salaam, kwa kupandisha ushuru wa barabara kwa magari ya mizigo yanayotoka Tanzania pekee kuanzia Rusumo hadi Kigali, kutoka dola za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MASANJA MKANDAMIZAJI AMWAGA MACHOZI BAADA YA KUSINGIZIWA KUWA ANAUZA BANGI

<!-- adsense -->  Jana zilisambaa  habari  kwamba  masanja  mkandamizaji  na  msanii Diamond  wamedakwa  na  polisi  na  possport  zao  za  kusafiria  zimezuiwa.... Taarifa  hizo  zimemfanya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KASHFA YALIKUMBA JESHI LA POLISI TENA-CCTV ZAZIMWA KURUHUSU UJAMBAZI

SIKU chache baada ya tukio la wizi mkubwa wa fedha katika Benki ya Habibu mjini Dar es Salaam, siri nzito zimeanza kuvuja kuwa polisi wanadaiwa kuhusika katika tukio hilo kwa kuhujumu kamera za usalama...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANAMKE ANASWA NA SARE ZA JWTZ

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limemkamata Saida Mohamed (30), mkazi wa Mwasonga Kigamboni, akiwa na sare za Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ).  Akizungumza na waandishi wa habari...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Baada ya mshindi wa Big Brother kutangaza kuwa hamjui baba yake, Mkenya...

Wiki iliyopita wakati mshindi wa $ 300,000 za Big Brother The Chase Dillish Mathews kutoka Namibia akifanyiwa mahojiano na mwandishi wa Namibia, alisema anahamu ya kukutana na baba yake mzazi ambaye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

U.N yawataka waasi wa M23 wasalimishe silaha zao haraka

Umoja wa Mataifa, UN umewataka waasi wa kundi la M23 kuweka silaha chini ili kumaliza mapambano yanayofanyika mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na kuleta athari mbaya kwa wananchi. Umoja...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maiti yafukuliwa na kutupwa nje ya mgahawa jijini Mwanza

Jeneza la mwili wa mtoto ambalo lilikutwa limetelekezwa mbele ya mlango wa mgahawa wa Ester. --- JENEZA lenye mwili wa mtoto mchanga, limezua taharuki kwa wananchi na wakazi wa Mtaa wa Ihago, Kata ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kisa cha aunt Ezekiel kupigwa chupa ni penzi la Jeff linalogombaniwa na warembo

Siri  ya  Aunt Ezekiel  kupigwa  chupa  club  na  kujeruhiwa  mkono wake imefichuka.Habari  za  uhakika  zinadai  kwamba  Aunt  alipigwa  chumba  na  mrembo  wa  kike  katika  harakati  za  kugombea...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rwanda yanywea..Malori yaruhusiwa kupita kwa tozo ya zamani

Naibu Waziri wa Uchukuzi  Dk. Tzeba  amethibitisha kuwa Serikali ya Rwanda imeruhusu malori ya Tanzania yaendelee na safari kwa kulipa dola 152 badala ya 500 zilizoanza kutozwa hapo  jana.  Akiongea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali yajibu mapigo kwa mtandao wa Kenya ulioanza kuichokonoa Tanzania

Msemaji wa Serikali na Mkurugenzi wa Idara ya Habari- (MAELEZO) Assah Mwambene akizungumza  na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam  kuhusu  mtandao wa kijamii wa nchini Kenya ulioituhumu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Afisa utumishi wa manispaa ya Ilemela afikishwa mahakamani kwa rushwa ya ngono

   Afisa  utumishi  wa  manispaa  ya  Ilemela  ndugu Songoma  leo  amefikishwa  mahakamani  akikabiliwa  na  kesi  ya  rushwa  ya  ngono  kwa  mwalimu  aliyekuwa  akiomba  kuhamishwa  toka  Ngudu  kuja...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JWTZ yakamata wanajeshi wanne wa Rwanda waliokuwa Kongo

ASKARI wa Umoja wa Mataifa wanaolinda amani nchini Kongo (Monusco), wakiongozwa na vikosi vya Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), wamedai kuwakamata maofisa wanne wa jeshi la Rwanda, katika mapigano ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mke anayenyonyesha mtoto wa miezi miwili afumaniwa gesti akisaliti ndoa yake

Usiku wa kuamkia juzi ulikuwa mbaya kwa mke wa mtu, Rukia Issa au mama Sabrina baada ya mumewe, Shukuru Nia kumfumania gesti na mwanamme mwingine huku yeye akiwa na kichanga cha miezi miwili na nusu.....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

" Siri ya ushindi wa Francis Cheka dhidi ya mmarekani ilikuwa ni tendo la...

SIRI ya ushindi alioupata bondia maarufu nchini, Francis Cheka ‘SMG’ dhidi ya Mmarekani Phil Williams imefichuka baada ya mke wa bondia huyo kutoka Morogoro, Tosha Azenga kutoa la moyoni. Akizungumza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dillish amkana mwanaume wa Kenya aliyedai kuwa ni baba yake mzazi

Baada ya mwanaume mkenya Abdi Galgayo Guyo aliyejitokeza juzi  katika ofisi za Standard Media Kenya na kudai kuwa ndiye baba mzazi wa mshindi wa BBA The Chase Dillish Mathews kutoka Namibia, Dillish...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>