Naibu
Waziri wa Uchukuzi Dk. Tzeba amethibitisha kuwa Serikali ya Rwanda
imeruhusu malori ya Tanzania yaendelee na safari kwa kulipa dola 152
badala ya 500 zilizoanza kutozwa hapo jana.
Akiongea toka mkoani Dodoma, Tzeba ameweka wazi kuwa Waziri wa Fedha wa Rwanda aitwaye Gatete na wa waziri wa Uchukuzi wa Rwanda aitwaye Rwakabamba, wameridhia tozo ya dola 152
iendelee
↧