Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Rwanda yanywea..Malori yaruhusiwa kupita kwa tozo ya zamani

$
0
0
Naibu Waziri wa Uchukuzi  Dk. Tzeba  amethibitisha kuwa Serikali ya Rwanda imeruhusu malori ya Tanzania yaendelee na safari kwa kulipa dola 152 badala ya 500 zilizoanza kutozwa hapo  jana.  Akiongea  toka  mkoani  Dodoma, Tzeba  ameweka  wazi  kuwa  Waziri wa Fedha wa Rwanda  aitwaye Gatete na wa  waziri  wa  Uchukuzi wa  Rwanda aitwaye  Rwakabamba, wameridhia tozo ya dola 152 iendelee

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles