Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Afisa utumishi wa manispaa ya Ilemela afikishwa mahakamani kwa rushwa ya ngono

$
0
0
   Afisa  utumishi  wa  manispaa  ya  Ilemela  ndugu Songoma  leo  amefikishwa  mahakamani  akikabiliwa  na  kesi  ya  rushwa  ya  ngono  kwa  mwalimu  aliyekuwa  akiomba  kuhamishwa  toka  Ngudu  kuja  Mwanza. Akisomewa  shitaka  lake   mbele  ya   hakimu  mfawidhi  wa  mahakama  ya  Mwanza, ofisa  wa  TAKUKURU  Bi. Debora amedai  kuwa   Songoma  alitenda   kosa  hilo  may  tano  mwaka  jana 

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>