Jeneza la mwili wa mtoto ambalo lilikutwa limetelekezwa mbele ya mlango wa mgahawa wa Ester.
---
JENEZA lenye mwili wa mtoto mchanga, limezua taharuki kwa wananchi na wakazi wa
Mtaa wa Ihago, Kata ya Mahina, Wilaya ya Nyamagana jijini Mwanza.
Tukio hilo la kushangaza na la aina yake, lilitokea Agosti
29, mwaka huu, majira ya saa 12:00 asubuhi baada ya kugunduliwa na
mfanyabiashara
↧