Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

U.N yawataka waasi wa M23 wasalimishe silaha zao haraka

$
0
0
Umoja wa Mataifa, UN umewataka waasi wa kundi la M23 kuweka silaha chini ili kumaliza mapambano yanayofanyika mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na kuleta athari mbaya kwa wananchi. Umoja huo umesema kumalizwa mapambano kati ya majeshi ya umoja huo na waasi wa M23 kutasaidia kupatikana kwa njia za kuleta suluhu baina ya pande hizo mbili. Wito huo umetolewa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles