Umoja wa Mataifa, UN umewataka waasi wa kundi la M23 kuweka silaha chini
ili kumaliza mapambano yanayofanyika mashariki mwa Jamhuri ya
Kidemokrasia ya Kongo na kuleta athari mbaya kwa wananchi.
Umoja huo umesema kumalizwa mapambano kati ya majeshi ya umoja huo na
waasi wa M23 kutasaidia kupatikana kwa njia za kuleta suluhu baina ya
pande hizo mbili.
Wito huo umetolewa
↧