Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAASI WA M23 WAMUUA MWANAJESHI WETU WA JWTZ HUKO KONGO

TAARIFA KUHUSU TUKIO LA KUFARIKI KWA AFISA WA JWTZ KATIKA JUKUMU LA KULINDA AMANI - DRC, GOMA 1. Kama mnavyofahamu, JWTZ linashiriki katika operesheni za Umoja wa Mataifa huko Goma DRC. Kikosi chetu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

"SINA MPANGO WA KUACHANA NA DIAMOND NA SIJAONA MWANAUME KAMA YEYE"....PENNY

Baada ya hivi karibuni kuandikwa habari iliyoeleza kwamba nchini Kenya kuna demu aliyemzimikia ile mbaya mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond’ huku akiahidi kumpa penzi zito, mpenzi wa msanii huyo Peniel...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AMUOMBA RAIS WA UGANDA AONGEE NA KAGAME ILI KUMALIZA UGOMVI ULIPO

RAIS Jakaya Kikwete, amewasiliana na Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, ili azungumze na Rais wa Rwanda, Paul Kagame kwa nia ya kumaliza mvutano wa maneno kati yao kwa busara.   Waziri Mkuu, Mizengo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ALIYEMPIGA CHUPA AUNT EZEKIEL NDIYE ALIYEMCHANA LULU VIWEMBE

Mtuhumiwa aliyempiga chupa mwigizaji Aunt Ezekiel Jumapili iliyopita nje ya Ukumbi wa Bilicanas ndiye aliyewahi kumchana viwembe mwigizaji Elizabeth Michael ‘Lulu’ mwaka 2011. Kumbukumbu  zinaonesha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DIAMOND ATOA ZAWADI YA GARI KWA MZEE GURUMO

Msanii mkongwe wa muziki wa dansi, Muhidin Gurumo akijaribu gari dogo alilokabidhiwa na mwanamuziki wa bongo fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond ‘ kutokana na kutambua mchango wake baada ya kustaafu kazi ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JESHI LETU LA JWTZ NA MONUSCO LAFANIKIWA KUITEKA NGOME KUU YA WAASI WA M23

ASKARI wa Umoja wa Mataifa wanaolinda amani nchini DR Congo (MUNUSCO), wakiongozwa na vikosi vya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) vimefanya shambulizi la nguvu katika eneo la  Kibati (Nyirangongo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAASI WA M23 WAANZA KUSALIMU AMRI BAADA YA KUPEWA KICHAPO KIKALI NA JWTZ (...

Waasi wa M23 Mashariki mwa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo wamesema kuwa watasitisha mapigano, kufuatia makabiliano makali na wanajeshi wa serikali wanaoungwa mkono na wanajeshi wa Umoja wa Mataifa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WABUNGE WATAKA MBIO ZA MWENGE WA UHURU ZIFUTWE

MBIO za Mwenge wa Uhuru nusura ziahirishe shughuli za Bunge baada ya baadhi ya wabunge kutaka zifutwe na hoja hiyo ijadiliwe bungeni.   Hata hivyo, suala hilo liligeuka shubiri kwa Waziri wa Nchi,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DIAMOND NA LINAH WANASWA WAKITOMASANA HADHARANI

Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ amenaswa na msanii mwenzake, Esterlina Sanga ‘Linah’ wakiwa kwenye mapozi ya kimahaba ambayo yametafsiriwa vibaya.   Katika tukio hilo lililojiri juzikati...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA ZA UZINDUZI WA "FOOLISH AGE" YA LULU MICHAEL

            MSANII wa Filamu Bongo, Elizabeth Michael 'Lulu', usiku wa kuamkia leo amefanikisha zoezi la uzinduzi wa filamu yake mpya inayokwenda kwa jina la Foolish Age .  Baada ya move hiyo kali ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NANDO AKAMATWA BAADA YA KUIBA CAMERA MOJA YA BIG BROTHER....

Nando  ameendelea  kuitia  aibu  Tanzania  baada  ya  kukumbwa  na  kashfa  mpya  ya  wizi  wa  kamera  ndani  ya  jumba  la  big  brother. Wizi  huo  unadaiwa  kutendeka  baada  ya  Nando  kualikwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA YA MWANAUME ALIYEGEUZWA KUWA MWANAMKE BAADA YA KUZINI NA MKE WA MTU

<!-- adsense --> Mwanaume  mmoja  nchini  Kenya  amejikuta  akiambulia aibu  ya  mwaka  baada  ya  uume  wake  kubadilishwa  kuwa  uke.... Mwanaume  huyo  anadaiwa  kufanyiwa  mchezo  huo  baada...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA ZA UCHI ZA PENDO ZAANIKWA BAADA YA KUSHINDWA KULIPA DENI

<!-- adsense --> Picha  za  uchi  za  mrembo  Pendo  zimeanikwa  hadharani  na  mmiliki  wa  club  maarufu  ya  Westland  baada  ya  binti  huyo  kushindwa  kulipa  deni  lake..... Taarifa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RWANDA YAPELEKA WANAJESHI 1700 KUWASAIDIA WAASI WA M23 BAADA YA KUELEMEWA NA...

KIKUNDI cha waasi cha M23 kinachopambana na jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), kimeripotiwa kupigwa vibaya na kutikisa nguvu za kikundi hicho kutokana na baadhi ya wapiganaji wake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANAMKE ABAKWA NA KUCHOMEKWA KISU SEHEMU ZA SIRI.

Ukatili dhidi ya wanawake  umeendelea  kushika  kasi  ya  ajabu katika  bara  la  Afrika..... Ukatili  huo  unajidhirisha  baada ya  ongezeko  kubwa  la  matukio  ya  ubakaji  yanayoambatana  na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DIAMOND ATUHUMIWA KUIBA WIMBO WA DYNA..."MY NUMBER ONE"

 Baada ya tuhuma za kuiba wimbo wa H.Baba na Pasha,Msanii Naseeb Abdul Diamond Platnum, ameingia tena ndani ya tuhuma nzito  baada ya  madai   kwamba wimbo anaotaka kuuachia wa No.1 ni wa Dayna....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KINGUNGE AMSHANGAA KAGAME

MWANASIASA mkongwe nchini, Kingunge Ngombale Mwiru, amejitosa katika mgogoro wa kidiplomasia uliopo kati ya Rais Jakaya Kikwete na Rais wa Rwanda, Paul Kagame.  Akizungumza na MTANZANIA Jumatatu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWILI WA ASKARI WETU ALIYEUAWA NA WAASI WA M23 UMEAGWA JANA ZANZIBAR

Marehemu Meja Hatibu Shaban Mshindo, aliyefarika Nchini Congo, akiwa katika Jeshi la Kulinda Amani.  Ndege iliobeba Mwili wa Marehemu Meja Hatibu Shaban Mshindo ikiwasili katika uwanja wa Ndege wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NELSON MANDELA ARUHUSIWA KUTOKA HOSPITALI

RAIS wa zamani wa Afrika Kusini, Nelson Mandela (95), jana aliondolewa hospitali na kurejeshwa nyumbani ambako ataendelea na matibabu ya maradhi ya mapafu.  Hata hivyo, taarifa ya Serikali ya Afrika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JWTZ YASIMULIA JINSI ASKARI WETU ALIVYOUAWA NA WAASI WA M23

JESHI la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), limeleezea namna mwanajeshi wake, Meja Khatibu Shaaban Mshindo, alivyouawa baada ya kuangukiwa na bomu, wakati akiwa katika jukumu la ulinzi wa amani...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>