Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YARUHUSU TENA MIHADHARA YA DINI ILIYOKUWA IMEPIGWA MARUFUKU.

MIHADHARA ya dini iliyokuwa imepigwa marufuku na Serikali imeruhusiwa kuendelea kwa masharti ya kutojihusisha na mahubiri yanayolenga kupandikiza chuki miongoni mwa Wakristo na Waislamu. Serikali pia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

EAC YAINGILIA KATI MZOZO WA TANZANIA NA RWANDA

Wakati Tanzania ikisema kuwa iko tayari kukaa meza moja na jirani yake Rwanda kumaliza hali ya uhasama iliyoanza kujitokeza katika siku za hivi karibuni, Katibu Mkuu wa Sekretarieti ya Jumuiya ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MADIWANI WALIOTIMULIWA BUKOBA WARUDSHWA

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIKamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa imejadili na kutolea maamuzi pamoja na mambo mengine suala la Madiwani wanane waliotangazwa kufukuzwa uanachama na Halmashauri Kuu ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"WABUNGE WENGI NI WAUZA UNGA NA MADAWA YA KULEVYA"....WILLIAM LUKUVI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi amesema baadhi ya majina ya wabunge yametajwa miongoni mwa watu wanaoshukiwa kujihusisha na biashara ya dawa za kulevya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANAUME ALIYEKIRI KUCHANGIA MKE NCHINI KENYA ATIMULIWA KAZI....

  Mwanaume wa nchini Kenya ambaye aliridhia kusaini mkataba wa kuchangia mwanamke mmoja na mwanaume mwenzake amefukuzwa kazi na bosi wake. Mwanaume huyo Sylvester Mwendwa, ambaye mwishoni mwa wiki...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CAG ADAI KWAMBA MAGUFULI SIYO FISADI.....ATOA UFAFANUZI WA KINA KUHUSU ZILE...

  MKAGUZI na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Utouh amesema taarifa ya Sh bilioni 252 zilizokuwa zimeoneshwa katika taarifa ya Wizara ya Ujenzi, zilihamishwa kwenda Wakala wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAGAME HATAKANYAGA TENA ARDHI YA TANZANIA.....WABUNGE WA RWANDA WASUSA JIJINI...

RAIS Paul Kagame wa Rwanda, sasa hayupo tayari kukanyaga ardhi ya Tanzania kutokana na kile kinachoonekana kuwa ni mgogoro wa kidiplomasia unaoendelea kati yake na Rais Jakaya Kikwete. Wakati hayo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AUNT EZEKIEL APIGWA CHUPA USIKU AKIWA CLUB

MWIGIZAJI wa  sinema za kibongo, Aunt Ezekiel Grayson ‘Gwantwa’ amenusurika kupasuliwa paji la uso kwa chupa baada ya kupigwa mkononi...  Usiku wa kuamkia Jumatatu, nje ya Ukumbi wa Billicanas,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAY C AANZA KUKIRUTUBISHA KIUNO CHAKE....HIZI NI PICHA 3 AKIWA GYM

Zaidi ya sauti yake na uwezo mkubwa wa kuimba nyimbo zinazoshikika kiurahisi, umaarufu wake mwingine mkubwa toka enzi hizo ni kiuno bila mfupa kwa jinsi alivyokua akicheza nacho.Huu  ni uwezo uliofanya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

"FAMILIA IMENITENGA BAADA YA KUOA ALBINO'...MUME

KIJANA aitwaye Priscus Mushi, mkazi wa Mbezi jijini Dar ambaye ni muumini wa Kanisa la Efatha linaloongozwa na Mchungaji Josephat Mwingira ameanika masikitiko yake baada ya kutengwa na baadhi ya ndugu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BASI LA HOOD LAUA MTU MMOJA NA KUJERUHI 15

Mtu mmoja amefariki dunia na 15  wamejeruhiwa baada ya basi  la Kampuni ya Hood  likitokea kilombero kwenda jijini  Dar es salaam kumgonga  mtembea kwa miguu na kisha kuacha njia na kupinduka katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHEIK PONDA AFIKISHWA MAHAKAMANI TENA.....KESI YAAAHIRISHWA HADI SEPTEMBA 11

Kiongozi wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu, Sheikh Ponda Issa Ponda jana alisababisha kusimama kwa shughuli za Serikali wilayani Morogoro baada ya ofisi kadhaa ikiwamo ya Mkuu wa Wilaya na baadhi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WABUNGE WA TANZANIA NAO WASUSIA KIKAO CHA BUNGE LA AFRIKA MASHARIKI

Kikao cha Bunge la Afrika Mashariki (EALA), jana kilivunjika kwa mara ya pili baada ya Wabunge wa Tanzania, kutoka ndani ya ukumbi wakipinga kanuni kuvunjwa juzi.    Baada ya wabunge wa Tanzania kutoka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO YA MTOTO WA MIAKA 14 ALIYEJIFUNGUA MAPACHA WATATU....

Kwa kawaida miaka 14 inafaa kuwa ndio unafurahia ujana na utoto wako.  Lakini sivyo kwa msichana mmoja huko Bungoma, ambaye sasa ni mzazi, na si wa mtoto mmoja, bali watoto watatu, aliojifungua kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHUPI NA SHANGA ZA MSANII SHILOLE ZAANIKWA NJE- FIESTA

  <!-- adsense -->

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO YA UCHI YA MRISHO NGASA AKIWA NA MDOGO WAKE FLORAH MBASHA GESTI YAVUJA

<!-- adsense --> Mshambuliaji wa timu ya taifa ya soka, Taifa Stars na mchezaji wa Yanga, Mrisho Ngasa, ameingia kwenye scandal nzito baada ya mkanda wake wa ngono kuvuja mtandaoni.   Mkanda huo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWIGULU NCHEMBA ATAKA MBOWE NA DR. SLAA WAKAMATWE KWA MAUAJI YA RAIA

 MBUNGE wa Iramba Magharibi, Mwigulu Nchemba (CCM), amechafua hali ya hewa bungeni kwa kuitaka Serikali kuwachukuliwa hatua viongozi wa juu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Mbunge huyo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UPDATE: MAJAMBAZI YALIYOVAA SARE ZA POLISI YAVAMIA HABIB AFRIICAN BANK NA...

Watu wanaodhaniwa kuwa ni Majambazi ambao wamevalia sare za Jeshi la Polisi wamevamia Habib Afriican Bank Kariakoo DSM na kupora kiasi kikubwa cha Fedha.  Jeshi la polisi kanda maalum wamethibitisha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TRAFFIKI FEKI ALIYEKAMATWA HIVI KARIBUNI ALIKUWA NI MFUNGWA WALIYETOROKA...

MAZITO tena yameibuka kuhusu yule trafiki feki James Hussein, mkazi wa Kimara Matangini, jijini Dar es Salaam ambaye yuko Gereza la Segerea, Dar akikabiliwa na kesi ya kujifanya askari wa usalama...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAY C AOKOKA RASIMI...HIZI NI PICHA ZAKE AKIBATIZWA

  Yule dada yetu msanii maarufu wa nyimbo za bongo fleva  leo hii amewaka bayana ya kuwa yeye na shetani sasa ni paka na panya. Ray C amethibitisha hayo katika post zake za instagram. 

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>