Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge),
William Lukuvi amesema baadhi ya majina ya wabunge yametajwa miongoni
mwa watu wanaoshukiwa kujihusisha na biashara ya dawa za kulevya lakini
Serikali haiwezi kuwataja hadharani kwa haraka.
Majibu hayo ya Waziri Lukuvi yamekuja baada ya
wabunge kumbana na wengine wakizomea baada ya kueleza ugumu wa kutaja
majina ya
↧