KIJANA aitwaye Priscus Mushi, mkazi wa Mbezi jijini Dar ambaye ni
muumini wa Kanisa la Efatha linaloongozwa na Mchungaji Josephat Mwingira
ameanika masikitiko yake baada ya kutengwa na baadhi ya ndugu kufuatia
kuoa mlemavu wa ngozi ‘albino’ aitwaye Tumaini Murungu.
Akizungumza
katika Ukumbi wa Maji uliopo maeneo ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam
ambapo sherehe za ndoa zilifanyika, Mushi
↧