Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

BASI LA HOOD LAUA MTU MMOJA NA KUJERUHI 15

$
0
0
Mtu mmoja amefariki dunia na 15  wamejeruhiwa baada ya basi  la Kampuni ya Hood  likitokea kilombero kwenda jijini  Dar es salaam kumgonga  mtembea kwa miguu na kisha kuacha njia na kupinduka katika eneo la Kiembeni  Mikese Mkoani  Morogoro.    Mkuu wa kikosi cha usalama barabarani mkoa wa Morogoro  Bonifasi Mbao  akizungumza kwenye  eneo la tukio amesema chanzo cha ajali  hiyo ni

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles