Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

EAC YAINGILIA KATI MZOZO WA TANZANIA NA RWANDA

$
0
0
Wakati Tanzania ikisema kuwa iko tayari kukaa meza moja na jirani yake Rwanda kumaliza hali ya uhasama iliyoanza kujitokeza katika siku za hivi karibuni, Katibu Mkuu wa Sekretarieti ya Jumuiya ya Afrika Mashariki, Dk Richard Sezibera amesema jitihada za kidipolomasia zinafanyika kutatua tofauti hizo za kimawazo.    Bila kutaja taasisi wala wanaohusika katika jitihada hizo za

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>