Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MANAIKI SANGA ATIWA MBARONI.....PICHA ZA UCHI ZIMEMPONZA....HIZI NI PICHA...

<!-- adsense -->    Jeshi la polisi kanda ya Dar es Salaam linadaiwa kumtia mbaroni msanii anaetuhumiwa kupiga picha chafu na wanawake mchanganyiko wakiwema mamiss maarufu na baadae kusambaza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

FOOLISH AGE YA LULU MICHAEL YAPIGWA STOP KUTOKANA NA MAVAZI YA NUSU UCHI...

Msanii wa filamu Elizabeth Michael (Lulu) akiweka sahihi yake kuashiria amekubaliana na taratibu zote alizoelekezwa na Bodi ya Filamu wakati wa ukaguzi wa filamu yake ya “Foolish Age”.Katibu Mtendaji...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA ZA UCHI ZA MPENZI WA DIAMOND ZAVUJA....

<!-- adsense --> Mwanamziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ amegeuka gumzo nchini Kenya baada ya mrembo mmoja aliyejipatia jina kupitia Runinga ya KTN, Angel Maggy kutangaza penzi lao upya kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTOTO AFANYISHWA MAPENZI MDOMONI NA ZEE LA MIAKA 54 HUKO MPANDA

Fundi baiskeli  mmoja mkaazi wa mtaa wa Nsemlwa, wilaya ya Mpanda, mkoa wa Katavi,  Athumani  Mussa (54) amefikishwa jana katika  Mahakama ya Hakimu Mkazi ya Wilaya ya Mpanda kwa tuhuma za kumlawiti...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"NAJIONA MWENYE FAHARI KUTONGOZWA NA NAY WA MITEGO"...NISHA

MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Salma Jabu ‘Nisha’ amesema hata kama msanii Nay wa Mitego akiwa na mpenzi mwigine kwa sasa lakini anajivunia kupendwa na kijana huyo kwani alihangaika sana kumpata....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KANISA LACHOMWA MOTO JIJINI DAR

Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Jimbo la Kati, Usharika wa Segerea Wilaya ya Ilala, limechomwa moto na watu wasiojulikana usiku wa kuamkia jana.    Tukio hilo lilitokea saa saba usiku,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MADIWANI WALIOTIMULIWA BUKOBA WAMFANYA KAGASHEKI APIGWE MARAFUKU KUSHIRIKI...

Suala la kutimuliwa kwa madiwani wanane wa CCM katika Manispaa ya Bukoba limeingia sura mpya baada ya Kamati Kuu kuwazuia Meya, Dk Anatory Amani na Mbunge wa Bukoba Mjini, Balozi Khamis Kagasheki...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JWTZ YATOA UFAFANUZI KUHUSU MWANAJESHI WAKE ALIYETOROKA NA KUKIMBILIA RWANDA

  JESHI LA wananchi wa Tanzania (JWTZ), limetoa ufafanuzi kwa kusema kuwa askari wake aliyetoroka jeshini Luteni Kanali Coelestine C. Seromba kwa kusema kuwa ni mzaliwa wa Kagera na siyo Rwanda.Jeshi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIOJA VYA TRAFIKI FEKI MBELE YA HAKIMU MFAWIDHI -ILALA

  JAMES Hussein, mkazi wa Kimara, Dar alikuwa na wakati mgumu wa kukwepa kamera zilizotua Mahakama ya Wilaya Ilala, jijini Dar juzi baada ya kufikishwa kwa kosa la kujifanya trafiki. Tukio hilo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

POMBE YAMFANYA MADEE AWE MILIONEA

  Hit maker wa Sio Mimi aka Pombe yangu, Madee amesema hadi sasa ameshaingiza zaidi ya shilingi milioni 130 kutokana na show mbalimbali alizopata hivi karibuni tangu aachie wimbo wake  huo. Madee...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SAKATA ZIMA LA KUKAMATWA KWA FREEMAN MBOWE, TUNDU LISU NA MSIGWA. MKOANI...

RPC  Ramadhan Mungi. Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe, wabunge Tundu Lissu, Peter Msigwa, Joseph Mbilinyi (Sugu), David Silinde na viongozi wengine wa mkoa na Wilaya ya Iringa mjini, akiwemo Diwani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HATIMAYE "FOOLISH AGE" YA LULU MICHAEL YARUHUSIWA BAADA YA KUZUIWA

  Bodi  ya   ukaguzi  wa  filamu  Tanzania  imeridhia  na  kuiruhusu  filamu  ya  Foolish Age  ya  Lulu  Michael  iingie  sokoni  baada  ya  kuizuia  hapo  juzi.... Filam  hiyo  ilizuiliwa   kutokana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DILLISH TOKA NAMIBIA AIBUKA MSHINDI WA BIG BROTHER AFRICA 2013

  Fainali za Big Brother zimefikia  tamati  usiku  huu  zikiwa  na  washiriki  watano  ambao  ni  Beverly, Melvin, Cleo, Elikem  na  Dillish. Mshiriki  wa  kwanza  kutolewa  alikuwa  ni  Beverly...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NICK MBISHI ATANGAZA RASIMI KUWA YEYE NI MUATHIRIKA WA UKIMWI

Tumekuwa  tukishuhudiwa  vituko  mbalimbali  vya  wasanii wetu  ambao  wamekuwa  wakihangaika  usiku  na  mchana  kuusaka  umaarufu.... Wapo  ambao  wamekuwa  wakivua  nguo  zao  jukwaani, wapo  ambao...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTOTO WA MIAKA 8 AOLEWA NA MWANAUME WA MIAKA 38...POLISI WAINGILIA KATI.

Mwanaume aliyetajwa kwa jina moja la Samson (38), mkazi wa Kijiji cha Mindukeni, Tarafa ya Tarawanda katika Wilaya ya Bagamoyo, Pwani amefanya maajabu ya milenia baada ya kudaiwa kuoa mtoto mwenye umri...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WEMA SEPETU ADAIWA KUJIHUSISHA NA BIASHARA YA MADAWA YA KULEVYA

Skendo ya mastaa mbalimbali Bongo kutajwa katika biashara na usafirishaji wa madawa ya kulevya ‘unga’ linazidi kuchukua sura mpya ambapo tayari majina ya wasanii wawili wakubwa, Wema Isaac Sepetu na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DADA YAKE MBOWE AIKIMBIA CHADEMA NA KUJIUNGA CCM.....ADAI CHADEMA HAINA JIPYA

DADA wa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Grace Mbowe, amejiunga na Chama Cha Mapinduzi ( CCM) akitokea Chadema, kwa kile alichodai haoni jambo jipya katika chama hicho.Grace...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BINTI APEWA KICHAPO JIJINI ARUSHA BAADA YA KUKATISHA MITAA AKIWA NUSU UCHI...

Msichana mmoja ambaye jina lake halikujulika amejikukuta katika wakati mgumu baada ya kuzomewa na   kuchapwa viboko na kundi la watu katika eneo la soko la nmc jiji arusha kwa madai ya kuvaa nguo fupi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKENYA WAWILI WAKUBALIANA KUMUOA MWANAMKE MMOJA

Wanaume wawili nchini Kenya wameibuka na mbinu isiyo ya kawaida ya kupata suluhu ya kupigania mwanamke ambaye wote wanampenda kwa  kusaini mkataba wakikubaliana kuishi nae kwa zamu.   Silvester Mwendwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JESHI LA POLISI LAMWAGA AJIRA.....

JESHI la Polisi nchini, limetangaza ajira mpya kwa vijana waliohitimu kidato cha nne na sita mwaka jana. Taarifa za jeshi hilo, ambazo zimewekwa kwenye mtandao wa jeshi hilo, zinasema vijana katika...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>