Wanaume
wawili nchini Kenya wameibuka na mbinu isiyo ya kawaida ya kupata
suluhu ya kupigania mwanamke ambaye wote wanampenda kwa kusaini mkataba
wakikubaliana kuishi nae kwa zamu.
Silvester Mwendwa ni mmoja wa wanaume hao. Ameeleza BBC kwanini binafsi anamuhusudu mwanamke huyo.
Mmoja ya wa wanaume hao alisema haoni ubaya wowote kwa yeye na mwenzake kumuoa mwanamke mmoja.
↧