JAMES Hussein, mkazi wa Kimara, Dar
alikuwa na wakati mgumu wa kukwepa kamera zilizotua Mahakama ya Wilaya
Ilala, jijini Dar juzi baada ya kufikishwa kwa kosa la kujifanya
trafiki.
Tukio hilo lilijiri mahakamani hapo
Agosti 22, mwaka huu ambapo mshitakiwa alikana mashitaka mbele ya Hakimu
Mfawidhi, Joyce Minde.
Trafiki feki huyo alitumia muda mwingi
kujificha sura ili kamera
↧