Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

VIOJA VYA TRAFIKI FEKI MBELE YA HAKIMU MFAWIDHI -ILALA

$
0
0
  JAMES Hussein, mkazi wa Kimara, Dar alikuwa na wakati mgumu wa kukwepa kamera zilizotua Mahakama ya Wilaya Ilala, jijini Dar juzi baada ya kufikishwa kwa kosa la kujifanya trafiki. Tukio hilo lilijiri mahakamani hapo Agosti 22, mwaka huu ambapo mshitakiwa alikana mashitaka mbele ya Hakimu Mfawidhi, Joyce Minde. Trafiki feki huyo alitumia muda mwingi kujificha sura ili kamera

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles