Tumekuwa tukishuhudiwa vituko mbalimbali vya wasanii wetu ambao wamekuwa wakihangaika usiku na mchana kuusaka umaarufu....
Wapo ambao wamekuwa wakivua nguo zao jukwaani, wapo ambao wamekuwa wakipiga picha za uchi na kuzitupia mitandaoni.Yote hiyo ni kutafuta Jina au umaarufu ambao mimi binafsi nauita ni umaarufu wa kishamba.....
Leo Nick Mbishi
↧