Suala la kutimuliwa kwa madiwani wanane wa CCM katika Manispaa
ya Bukoba limeingia sura mpya baada ya Kamati Kuu kuwazuia Meya, Dk
Anatory Amani na Mbunge wa Bukoba Mjini, Balozi Khamis Kagasheki
kushiriki katika siasa mkoani humo hadi mwaka 2015.
Habari zilizopatikana kutoka ndani ya kikao hicho
zinaeleza kuwa uamuzi huo umefikiwa baada ya kubainika mgogoro wa
viongozi hao,
↧